TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

sawa..
 
Unataka kusema Zari alimpiga kipapai mzazi mwenzake?
 
Yeah kabisa umesema ukweli sasa yeye aliamini hakuna mwanamke kama zari!kumbe mindset angetafuta mwanamke akaweka ndani angeumia Zari na haya yote yasingempata.
 
Ndio nimeamini,vita ya madawa ya kulevya haitaacha watu salama
 
Je angekufa zarii?? Achen mambo ya uongo bhana na mnajuaje kati ya zari na ivan nani alimuacha mwenzie?
 
MUDA WAKE WA KUISHI ULIFIKIA KIKOMO, platinum hapaswi kwenda.....
 
Huyo mzee anatafuta pa kutokea, si angesema na wanawake alikuwa nao hadi kumnyanyasa mke wake hadi kuamua kutowaonyesha wazi kwa kujutia alichofanya pia kama alijuta tho. Hakufikiri mkewe ataendelea na maisha na kuwa happy. Wanamsingizia tu kwa sababu wanataka kumdhulumu...hakuna lingine.

Update 26/05 14:22 hrs: inaonekana watu wanataka tu kuchafua jina la hiyo familia...yote Ivan kamwachia Zari kama kawaida. Ila wenye wivu wanaandika mambo ya uongo ili ionekane Zari amefanya ya ajabu na kumbe hakuna hilo. Wengine ndio marafiki na ndugu wa mbaki wanatamani washikilie ila ndio hawana chao hapo. Kwenye post namba moja kuna update ya msemaji wa familia ya Ivan.
 
Aliyekudanganya zari na ivan hawakuoana nani? Walioana traditional marriage in Uganda ambayo kisheria ni ndoa halali. Unadhani kwanini chibu hajakimbilia kumuoa zari ?
Apa sasa lugha gongana kwan mm nimesema hakuewa kisheria
 
Niliwahi kuona siku za mwanzo wa mahusiano ya kijana wetu na huyu dada Waganda wakimuita 'gold digger'. Hapa iko wazi kuwa hata wale wanaosema yule dogo ni 'paste' na marehemu na Waswahili wanasema 'kitanda hakizai haramu', hivyo mwenzio akinyolewa basi hata kama hujatia maji lakini inabidi uanze kuyatafuta.
By the way, katika comments zote sijaona hata moja inayosema chanzo cha mauti ya shemeji yetu, ni malaria!?
 
Umeshindwa kufikisha hoja bila matusi......

Mbona wewe ukahaba wako huuoni kwa kutembea na boss wako Erasto msuya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…