TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Money can't buy Life. Wakati Bob anakata roho kule Florida USA alimwambia mwanaye Ziggy

Eti unasema ??

Basi ikitokea unaumwa nenda ukatibiwe kule muhi2 na mimi nikatibiwe Agakhan alaf tuone nani ata survive.

Hela ndio kila kitu kijana ingawa kufa kupo na hakuepukiki.
 
Thats z Y I've to visit JF ever morning B4 i wakeup, it alwyz have somthn to teach Me.
R.I.P
 
RIP Ivan,
Poleni wote walioguswa na msiba.
Hivi huyu alikuwa wa wapi,,?
 
Hivi alikuwa anafanya dili gani? Yaani chanzo cha utajili wake ni kitu gani? Isije kuwa ni kafara, maana kuna kipindi fulani alikuwa anagawa hela kama njugu labda alijua shetani yu karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…