TANZIA: Ivan Ssemwanga (ex wa Zari) amefariki dunia usiku huu

Eti unasema ??

Basi ikitokea unaumwa nenda ukatibiwe kule muhi2 na mimi nikatibiwe Agakhan alaf tuone nani ata survive.

Hela ndio kila kitu kijana ingawa kufa kupo na hakuepukiki.
Utachelewa kufa lakini utakufa tu hata upelekwe marekani au wapi Sijui.
 
RIP SSEMWANGA IVAN bt mwenye kujua historia yake hta kwa ufupi maana jamaa alikua na mchuzi hatari cjui alikua anafanya mishe gani hasa?
 
Kama taarifa hii ni kweli, basi tumwombee Mungu aiweke roho yake pema peponi.

Kulingana na vyombo vya habari Uganda, wiki mbili au tatu zilizopita jamaa huyu akiwa Kampala katika maisha yake ya kawaida aligundua kuwa kuna mtu aliuza nyumba zake kadhaa kinyemelea bila yeye mwenyewe kujua. Hiyo ilimsitua sana kwa vile alishabadilisha umiliki wa nyumba zote zile pamoja na biashara zake zote na jina la Zari halikuwapo tena ila yeye peke yake; nadhani akidhania kuwa ni Zari kamchezea hivyo, akaamua kutangaza kuuza ile nyumba ya ghorofa moja aliyokuwa amemjengea mama yake Zari ambayo inasemekakana nayo ilikuwa katika jina lake Ivan peke yake. Mauti yamemkuta kabla nyumba hiyo haijanunuliwa. Nadhani mgawanyo wa mali zake utaleta mzozo sana katika familia yake kama hakuacha makaratasi mazuri kisheria; basi Zari atashinda na atachukua kila kitu pamoja na vituko vyote alivyomfanyia katika maisha.
 
Weka namba ya simu ya wahusika tuchangie directly, mana michango ikipitia kwa akina Gambo kwa walengwa inafika robo tu
hahaha imenibidi nicheke tu maana hakuna namna nimesikitika sasna asee gone too soon
 
Acha mambo yako..... Kifo chake wapo nilipo sema kinahusiana na freemason?

Kanumba alipo fariki mpenzi wake lulu yupo hai au hayupo hai?

Halafu usiwe unakariri mambo.... Kafara za freemason siyo lazma ufe gafla kama kanumba.... We unajua mama yake p square alikufa kifo gani....
 
Watu wanafiki humu ndani balaa, eti kifo cha ivan kimewafanya watoe machozi daah.

Anyway sisemi mengi we all live once, R.I.P
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…