Nipo Msibani hapa Tegeta Namanga. Kwa sasa misa inaendelea kisha heshima za mwisho kwa mwili wa marehemu. Baada ya hapa msafara wenye mwili wa marehemu utaelekea katika makaburi ya kinondoni kwa ajili ya kuhfadhi mwili huo.
Your so great Nicas may god bless you
Endelea kumpa faraja Kakakiiza na mungu aendelee kumpa nguvu na ujasiri katika kipindi hiki kigumu
Bwana ametoa na Bwana ametwaa jina lake libarikiwe
Amen
Tunashukuru kwa uwakilishi, Mungu akubariki sana. mpe salamu zetu pia KakaKiiza pamoja na watoto wake, tunawaombea Mungu awape faraja.Amen First Lady. Kwa sasa ndio tumefika hapa kwenye Makabur ya Kinondoni kwa ajili ya kuhfadh mwili wa shemeji yetu Mrs Kiiza.
Tunashukuru kwa uwakilishi, Mungu akubariki sana. mpe salamu zetu pia KakaKiiza pamoja na watoto wake, tunawaombea Mungu awape faraja.
jamani kaka Nicas, mimi dada.pa1 sana kaka. Salamu zimefika. Bwana Mtambuzi naye tulikuwa naye eneo la tukio.