Tanzia: KakaKiiza (JF Member) afiwa na Mkewe!

Inna Li Llahi wa Inna Illahi Rajiun.

Pole sana, ni pigo kubwa kuondokewa na mshirika wa maisha yako, jikaze kiume.
 
Kwa sasa naomba ni washukuru sana kwa support yenu mliyonipa ila kwa sasa sina chakuwambia kwani sija tulia nikiwa nimetulia nitatoa shukurani zangu za dhati kwenu wote!!Mungu awape uwezo zaidi ya hapo na hekima zaidi!
Ameen...
 
Pole sana Kakakiiza Mwenyez MUNGU akutie nguvu kwenye wakati huu mgumu
 
Pole sana kaka kwa msiba mzito. M.A.P(MUNGU AMLAZE PEMA PEPONI) shemeji kipenzi
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake libarikiwe
Pole sana kaka yetu.
Poleni sana Ndugu jamaa na marafiki zetu kwa pigo kubwa namna hii.
 
Pole sana kaka..Mungu akupe faraja wewe na familia yote.
 
Kwa sasa naomba ni washukuru sana kwa support yenu mliyonipa ila kwa sasa sina chakuwambia kwani sija tulia nikiwa nimetulia nitatoa shukurani zangu za dhati kwenu wote!!Mungu awape uwezo zaidi ya hapo na hekima zaidi!

Pa1 sana Mkuu
 
Still happening in TZ. Vifo wakati wa Ujauzito!!
Pole sana kaka, Mungu akupe nguvu za kuvuka kipindi hiki kigumu sana!
Pamoja.
 
Kwa sasa naomba ni washukuru sana kwa support yenu mliyonipa ila kwa sasa sina chakuwambia kwani sija tulia nikiwa nimetulia nitatoa shukurani zangu za dhati kwenu wote!!Mungu awape uwezo zaidi ya hapo na hekima zaidi!
KK pole sana Mungu akupe nguvu kipindi hiki kigumu. Mungu awe nawe
 
Gosh! yaelekea alikuwa bado mdogo akiwa na ndoto nyingi na nzuri za kuwa na familia .... what can we say, tunatoa pole za dhati kwa mume, ndugu jamaa na marafiki wa fmilia, kakakiiza Mungu akupe faraja ya kwelia na kutie nguvu katika kuyabeba majukumu ya malezi ya familia peke yako. May her soul rest in eternal peace AMIN
 

pole sana mkuu Mwenyezi Mungu akutie nguvu.
 
Pole sana Mkuu KakaKiiza kwa pengo kubwa ulilolipata maishani mwako. Mungu ndie mfariji pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…