Tanzia: KakaKiiza (JF Member) afiwa na Mkewe!

Tanzia: KakaKiiza (JF Member) afiwa na Mkewe!

Wana Bodi,

Nasikitika sana kuwapa taarifa za msiba wa Mke wake na Kaka Kiiza, kilichotokea sasa hivi. Nimepata ujumbe wake kwa njia ya sms juu ya taarifa hizi za kusikitisha.

Naungana na ndugu na jamaa wa ndugu yetu katika maombolezo ya msiba huu mkubwa.

Kaka Kiiza, Asured kwamba mawazo yetu na sala zetu yapo na nawe katika kipindi hiki chote cha msiba! Jipe Moyo Mkuu kwa kuwa kazi ya Mungu haina makosa hata kidogo...

Binafsi sikupata details zaidi!! nitakapopata nitaziweeka hapa


Bwana Alitoa na Bwana Ametwaa, Jina la Bwana Libarikiwe!

Kwa wale watakao weza kuhudhuria msiba safadhali tukamtie mwenzetu Moyo!

Kiresua

More info!!

Mwasiliano na Kaka Kiiza ni 0752 30 78 78

Mama Kiiza amefikwa na mauti kwa sababu za ujauzito!

Oh God, I do not like even to think such kind of tragedy.

Kaka Kiza,
Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu kwako,
Mungu akuvushe na kukufariji kwa faraja yake kuu ambayo hapana mwingine wezaye kuitoa. AMIN!
 
Pole sana KakaKiiza,
Mwenyezi Mungu akupe nguvu unayohitaji.

Pole sana!
 
pole sana kaka. mungu akupe nguvu na subira katika kipindi hiki kigumu.
 
Inaogopesha na kusikitisha sana jinsi wamama wanavyopoteza maisha wakiwa wajawazito au wakati wa kujifungua. Pole Sana Kaka Kiiza, Mungu wetu akujaze nguvu na uvumilivu katika kipindi hichi kigumu. Mungu amlaze marehemu mahala pema pemoni.....Amina!
 
So sad pole sana kaka Kiza
Mungu akupe uvumilivu!
 
Pole sana KakaKiiza .....

Bwana ametoa

Bwana ametwaa

Jina la bwana lihimidiwe.............

RIP dada mpendwa!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana KakaKiiza Mungu akutie nguvu, may her soul RIP
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana kwa msiba huu mzito KakaKiiza pamoja na familia. Mwenyezi Mungu akupeni nguvu na ujasiri katika kipindi hiki kigumu.
Marehemu apumzike kwa amani. Amen.
 
KakaKiiza Pole sana mkuu, tupo pamoja katika kipindi hiki kigumu cha msiba mzito ulikupata...............
 
Last edited by a moderator:
Ple sana Kaka kiiza, Mungu aliemrehemu wa kweli tunamuomba akupe FARAJA yake ya Kweli

Mungu akutangulie ktk kila hatua ktk kipindi hiki kigumu

Pole sana
 
Pole sana Mkuu, M/MUNGU akupe subira katika kipindi hiki kigumu. Tuko pamoja.
 
Pole sana kakakiiza, Mungu wa faraja akutie nguvu. Tunakuombea na tuko pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu.
 
Back
Top Bottom