TANZIA: Kenny Rogers Mwanamuziki mkongwe, gwiji wa miziki ya Country, afariki

TANZIA: Kenny Rogers Mwanamuziki mkongwe, gwiji wa miziki ya Country, afariki

Kwa wale wapenzi wa country music, usiku wa leo legend wa muziki huo ameaga dunia[emoji19]... Hizi ni nyimbo ambazo mara nyingi ukisikiliza zinakukumbusha moments fulani katika maisha yako mwenyewe...
Nitamkumbuka kwa vibao vikali, ikiwemo: The Gambler, Lucille, Lady, na Coward of The county
Mungu Ni Mwema Wakati Wote
Apumzike Kwa Amani Anapostahiri
Vibao Vyake Ni Vingi Sana
Crazy
We Are The Same
 
Mwanamuziki Mkongwe na gwiji wa muziki katika miondoko ya Country, Mmarekani Kenny Rogers amefariki usiku wa kuamkia leo huko Sandy Springs, Georgia, Marekani

Familia yake imesema Rogers aliyekuwa Mwandishi wa Nyimbo, Muigizaji, Muimbaji na 'Producer' amefariki kwa amani akiwa nchi ya Uangalizi wa Muuguzi huku akiwa amezungukwa na familia yake

Rogers, alitamba kwa nyimbo zake nyingi zikiwemo The Gambler, Lady, Islands in the Stream na Lucille, huku akiwa ameuza rejodi zaidi ya Milioni na kushinda tuzo 3 za Grammy

Kama muigizaji ametokea kwenye filamu ya Six Pack mwaka 1982 na katika tamthilia kadhaa maarufu za runinga kama The Gambler, Christmas in America na Coward of the County


=====

Country music star Kenny Rogers died Friday night in Sandy Springs, Georgia. He was 81.

According to a statement posted by his family on Twitter, the singer, songwriter, actor and producer passed away at 10:25PM “peacefully at home from natural causes under the care of hospice and surrounded by his family.”

Rogers, known for such hits as “The Gambler,” “Lady,” “Islands in the Stream,” and “Lucille, sold millions of records and won three Grammys during his decades-long career.

As an actor, he starred in the 1982 movie Six Pack and a number of popular TV movies such as The Gambler franchise, Christmas in America, and Coward of the County, all based on hit songs of his. He also served as host & narrator for the A&E historical series The Real West.
Dah! R.I.P Kenny Rogers
 
Ni mpenzi wa nyimbo zake. The legend is gone.
 
Hauja acha neno lolote kwamba corona imehusika. Maana umri una ruhusu kabisa.
 
Mwanamuziki Mkongwe na gwiji wa muziki katika miondoko ya Country, Mmarekani Kenny Rogers amefariki usiku wa kuamkia leo huko Sandy Springs, Georgia, Marekani

Familia yake imesema Rogers aliyekuwa Mwandishi wa Nyimbo, Muigizaji, Muimbaji na 'Producer' amefariki kwa amani akiwa nchi ya Uangalizi wa Muuguzi huku akiwa amezungukwa na familia yake

Rogers, alitamba kwa nyimbo zake nyingi zikiwemo The Gambler, Lady, Islands in the Stream na Lucille, huku akiwa ameuza rejodi zaidi ya Milioni na kushinda tuzo 3 za Grammy

Kama muigizaji ametokea kwenye filamu ya Six Pack mwaka 1982 na katika tamthilia kadhaa maarufu za runinga kama The Gambler, Christmas in America na Coward of the County


=====

Country music star Kenny Rogers died Friday night in Sandy Springs, Georgia. He was 81.

According to a statement posted by his family on Twitter, the singer, songwriter, actor and producer passed away at 10:25PM “peacefully at home from natural causes under the care of hospice and surrounded by his family.”

Rogers, known for such hits as “The Gambler,” “Lady,” “Islands in the Stream,” and “Lucille, sold millions of records and won three Grammys during his decades-long career.

As an actor, he starred in the 1982 movie Six Pack and a number of popular TV movies such as The Gambler franchise, Christmas in America, and Coward of the County, all based on hit songs of his. He also served as host & narrator for the A&E historical series The Real West.
Nimepata shock ya hii habari. Nilikuwa napenda Sana huyu Mzee na nyimbo zake za Country. Daaaaah Maisha mafupi Sana hapa duniani. Nakumbuka Wimbo wa Lucille( you pick fine time to leave me Lucille, crops in the field.....), You don't need fight to be a Man. Say Hello to Don Williams Sir. RIP Kenny.
 
Back
Top Bottom