Msanii wa bongo flevaSaidi Mustafa maarufu kama Side Boy "Mnyamwezi" amefarik mchana wa leo akiwa hospital ya St Walburg "Nyangao-Lindi"
msanii huyo ameimba nyimbo kama Hujafa Hujaumbika aliomshirikisha Best Nasso na Usimdharau Usiyemjua" Amemshirikisha Ney wa Mitego.
R.I.p Side Boy
msanii huyo ameimba nyimbo kama Hujafa Hujaumbika aliomshirikisha Best Nasso na Usimdharau Usiyemjua" Amemshirikisha Ney wa Mitego.
R.I.p Side Boy