MAJIYAPWANI
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 1,726
- 2,691
siamin aisee km kweli kavuta daaah mbona vijana tunaondoka mapema hvi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioNdicho ulichokiona tu?
Dah nmecheka msibaniAlikua na mguu mzuri sana
Dah nmecheka msibani
Ndio ugonjwa wangu huoAlikua na mguu mzuri sana
mfuate pepon mzee babaAlikua na mguu mzuri sana
Diih ebana imebid nimtafute insta huyu manzi ndo kavuta daaah[emoji26].....nilikuwa sijui Kama aliachaga Mambo ya kuimba imba gospel akaingia kwa comedy...R.I.P Martha shilole dah kitambo Sana[emoji24]Msanii wa vichekesho toka Cheka Tu ajulikanae kwa jina la Boss Martha afariki dunia. Martha amefariki Asubuhi ya leo baada ya kuugua ghafla kwa kipindi kifupi. Inaelezwa kuwa alikuwa akiugua uti wa mgongo uliopelekea kupata homa kali.
Na itoshe kusema,,,Apumzike kwa Amani