Mambo ya zero grazing,hawa wkwenye tasnia ya bongo filamu,bongo fleva wako na michezo mingi ya kuzungukana, kipindi cha nyuma kidogo ilikuwa wanamuziki wa bendi zetu sasa game limesaukaAiseee hiyo chain si itakuwa balaa? Mbosso,Whozu-->TundaBosiledi
Na wanamuziki wa Band wamejifunza maana DRUM iliwakaangisha kinoma,Rukia Bruno na Aisha Madinda chaini yao ilikuwa kubwa sana.Mambo ya zero grazing,hawa wkwenye tasnia ya bongo filamu,bongo fleva wako na michezo mingi ya kuzungukana, kipindi cha nyuma kidogo ilikuwa wanamuziki wa bendi zetu sasa game limesauka
Ongeza sautiSleep easier
Itakuwa ni malaria iliyoanzia kwenye uti wa mgongo possibly vipimo vilichelewa kugundua au mtaalamu husika hakugundua mapema, kingine tukipata vihoma tunakimbilia hospital ndogo zisizo eleweka mambo yakiwa mazito ndipo tuaenda hospital kubwa hii ni hatari tunakuwa tumeshachelewaUti wa mgongo uliopelekea malaria.
Kuna ugunduzi mpya hapa.