Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Aliyekuwa Mlinzi wa Klabu ya Polisi Tanzania , Mtibwa Sugar Iddi Moby Mfaume amefariki huku chanzo cha kifo chake kikialifiwa kuwa
“Iddi Moby amedondoka tu Gafla wakati anakimbia Barabarani “Road Work “😢 na ndio kilichopelekea kifo Chake .”
Rest In Peace Champs
“Iddi Moby amedondoka tu Gafla wakati anakimbia Barabarani “Road Work “😢 na ndio kilichopelekea kifo Chake .”
Rest In Peace Champs