TANZIA. Mchezaji NBC Afariki Gafla

TANZIA. Mchezaji NBC Afariki Gafla

Smart codetz

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2023
Posts
218
Reaction score
875
Aliyekuwa Mlinzi wa Klabu ya Polisi Tanzania , Mtibwa Sugar Iddi Moby Mfaume amefariki huku chanzo cha kifo chake kikialifiwa kuwa
“Iddi Moby amedondoka tu Gafla wakati anakimbia Barabarani “Road Work “😢 na ndio kilichopelekea kifo Chake .”

Rest In Peace Champs
0021B32C-E178-4DB5-AE18-2C18BFD64294.jpeg
 
Back
Top Bottom