Kheri mwana kapumzika zake,hakuna la maana duniani,uwe na pesa karaha,ukose karahaPole nyingi kwa wafiwa na wadau wote wa mpira wa miguu. Inasikitisha sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kheri mwana kapumzika zake,hakuna la maana duniani,uwe na pesa karaha,ukose karahaPole nyingi kwa wafiwa na wadau wote wa mpira wa miguu. Inasikitisha sana.
Ule ujuaji mkuumkuu hii taarifa unaitoa ukiwa mochwari chumba cha uchunguzi ama ule ujuaji wa kitanzania
Yeah,kabisa...shida tupuKheri mwana kapumzika zake,hakuna la maana duniani,uwe na pesa karaha,ukose karaha
Wapi imetokea hii“Iddi Moby amedondoka tu Gafla wakati anakimbia Barabarani “Road Work “😢 na ndio kilichopelekea kifo Chake .”
Aliyekuwa Mlinzi wa Klabu ya Polisi Tanzania , Mtibwa Sugar Iddi Moby Mfaume amefariki huku chanzo cha kifo chake kikialifiwa kuwa
“Iddi Moby amedondoka tu Gafla wakati anakimbia Barabarani “Road Work “[emoji22] na ndio kilichopelekea kifo Chake .”
Rest In Peace Champs
View attachment 2538317
Hizo energy drinks zipo kabla hata hujazaliwa!!!Matumizi ya Energy drinks yaeupukwe. Hii kitu ni mbaya sana.
Rip IddAliyekuwa Mlinzi wa Klabu ya Polisi Tanzania , Mtibwa Sugar Iddi Moby Mfaume amefariki huku chanzo cha kifo chake kikialifiwa kuwa
“Iddi Moby amedondoka tu Gafla wakati anakimbia Barabarani “Road Work “[emoji22] na ndio kilichopelekea kifo Chake .”
Rest In Peace Champs
View attachment 2538317
Hii ndio postmortem report?Matumizi ya Energy drinks yaeupukwe. Hii kitu ni mbaya sana.