TANZIA: Mchezaji wa zamani wa Simba, Christopher Alex Massawe afariki dunia

TANZIA: Mchezaji wa zamani wa Simba, Christopher Alex Massawe afariki dunia

Blog

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2013
Posts
320
Reaction score
129
ImageUploadedByJamiiForums1424593462.248955.jpg

Marehemu amesumbuliwa na T.B kwa muda mrefu amefariki huko kwao DODOMA.
 
Daaah! Huyu si ni yule mchezaji aliyetoka timu ya simba ya under 20 then akapanda timu ya wakubwa?
 
dah R.I.P Christopher Alex niliwasikia sports extra clouds wakihamasisha watu wamchangie kwa matibabu.
 
Rest In Eternal Peace Brother,uluchangia sana nguvu zako katika kuitumika timu ya Simba lakini wao walikutupa katika mateso ya dunia,mungu wetu ni mwenye huruma na rehema hakika atakupumzisha unapostahili.

Amen
 
RIP Masawe, kwa mwenye picha ya Masawe enzi za uhai wake aiweke ili kuweka kumbukumbu sawa
 
Poleni sana wafiwa..Mungu amlaze pema, Kweli maisha mafupi kwa kijana... R I P.....C A M.
 
Back
Top Bottom