TANZIA: Meneja wa Aga Khan Outreach Services, Fayyaz Mohammedtaqi afariki dunia

TANZIA: Meneja wa Aga Khan Outreach Services, Fayyaz Mohammedtaqi afariki dunia

View attachment 1436328

Fayazz ambaye alikuwa Mkuu wa Aga Khan Outreach services amefariki dunia mapema usiku wa kuamkia leo.

Fayazz ni mfamasia kitaaluma.

Kliniki zote za Dar za Aga Khan (ukiacha main Hospital) ndio alikuwa anaongoza.

Taarifa zinabainisha kuwa mama yake mzazi pia yupo hoi na amelazwa.

RIP Fayazz, poleni familia na wafanyakazi wa The Aga Khan Hospital Dar es Salaam. Mtandao wenu wa Outreach umefanya na unafanya makubwa kwa wote.


The Aga Khan Hospital, Tanzania is enhancing its outreach activities through the establishment of 35 outreach health centres all across Tanzania. Currently, 21 are fully operational.
 
Innalillahi wainna ilayhi rajiuun

"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
 
Rais alisema hashauriwi na ukimshauri ndio umeharibu.
Kama wewe mwenyewe umeshindwa kujishauri na kuchukua tahadhari juu ya #COVID-19 utawezaje kushauri Rais. Unataka hata vitu vidogo kama kuvaa mask, kunawa mikono, kupunguza safari zisizo za lazima, kutumia sanitizer hadi rais akuhimize? wewe huoni umuhimu wa hivyo vitu?
 
View attachment 1436328

Fayazz ambaye alikuwa Mkuu wa Aga Khan Outreach services amefariki dunia mapema usiku wa kuamkia leo.

Fayazz ni mfamasia kitaaluma.

Kliniki zote za Dar za Aga Khan (ukiacha main Hospital) ndio alikuwa anaongoza.

Taarifa zinabainisha kuwa mama yake mzazi pia yupo hoi na amelazwa.
Daaaahhhhh!!! Ama kwa hakika udongo unameza watu! Udongo umemmeza huyu jamaa!!!! Aisee.... umeondoka mapema sana brother... Such a humble guy doohhhhh! I am speechless.
Nilimfahamu kwa mara ya kwanza mwaka 2015, huyu jamaa nilipewa namba yake na mtu; hapo hata hatufahamiani, nilikua nahitaji dawa fulani hivi kwa ajili ya mke wangu, ambayo ilikua inapatikana Aga Khan ya Dar es Salaam tuu; Mimi nikiwa Mbeya, hiyo dawa pia ilikua na complications kwa sababu inahitaji ihifadhiwe kwenye ubaridi (joto lisizidi 8 celsius). Kimbembe kikawa ni jinsi gani naipata hiyo dawa, na pia nitaisafirishaje hiyo dawa?
Nikapewa namba ya jamaa na mfamasia mwingine ambaye nilikua nae Mbeya ('Bin Laden' alikua ni mfamasia pia-Fayyaz alijulikana pia kwa a.k.a ya 'Bin Laden' wenzie wakimtania). Nikampandia hewani, nikamuelezea pale, akawa very concerned; tukakamilisha jinsi ya kuipata, akaniambia sio ishu nimtumie prescription kwa njia ya WhatsApp, nikafanya hivyo, kisha nikamuunganisha na jamaa wa health insurance yangu, hilo likaisha, nikawa nawaza naipataje sasa? Jamaa kama baada ya masaa mawili ananipigia simu ananiambia kuwa dawa inakuja na Fast Jet ya Mbeya inayotua Mbeya same day saa kumi na nusu jioni...!! Kumbe alikua ametafuta cold box, kaifunga dawa vizuri tayari... Nikamwambia nashukuru sana kaka, sikuamini masikio yangu, nikamwambia naomba uniambie gharama uliyotumia nikutumie kwenye M Pesa, akaniambia hakuna haja kaka, nimefanya out of good heart, no need to worry about that, najua shemeji anahitaji sana hii dawa. Nikamsisitiza sana aniambie gharama, akakataa kabisa. We kept in touch na mwaka 2016 nilivyoenda Dar, ndo nikaenda Aga Khan na kuonana nae kwa mara ya kwanza!! Tuliendelea kuwasiliana kwa ukaribu sana, na kushirikiana kwenye mambo mbalimbali...
Daahhh, nimeishiwa cha kuandika, Inatosha.
RIP kaka.
 
Daaaahhhhh!!! Ama kwa hakika udongo unameza watu! Udongo umemmeza huyu jamaa!!!! Aisee.... umeondoka mapema sana brother... Such a humble guy doohhhhh! I am speechless.
Nilimfahamu kwa mara ya kwanza mwaka 2015, huyu jamaa nilipewa namba yake na mtu; hapo hata hatufahamiani, nilikua nahitaji dawa fulani hivi kwa ajili ya mke wangu, ambayo ilikua inapatikana Aga Khan ya Dar es Salaam tuu; Mimi nikiwa Mbeya, hiyo dawa pia ilikua na complications kwa sababu inahitaji ihifadhiwe kwenye ubaridi (joto lisizidi 8 celsius). Kimbembe kikawa ni jinsi gani naipata hiyo dawa, na pia nitaisafirishaje hiyo dawa?
Nikapewa namba ya jamaa na mfamasia mwingine ambaye nilikua nae Mbeya ('Bin Laden alikua ni mfamasia pia). Nikampandia hewani, nikamuelezea pale, akawa very concerned; tukakamilisha jinsi ya kuipata, akaniambia sio ishu nimtumie prescription kwa njia ya WhatsApp, nikafanya hivyo, kisha nikamuunganisha na jamaa wa health insurance yangu, hilo likaisha, nikawa nawaza naipataje sasa? Jamaa kama baada ya masaa mawili ananipigia simu ananiambia kuwa dawa inakuja na Fast Jet ya Mbeya inayotua Mbeya same day saa kumi na nusu jioni...!! Kumbe alikua ametafuta cold box, kaifunga dawa vizuri tayari... Nikamwambia nashukuru sana kaka, sikuamini masikio yangu, nikamwambia naomba uniambie gharama uliyotumia nikutumie kwenye M Pesa, akaniambia hakuna haja kaka, nimefanya out of good heart, no need to worry about that, najua shemeji anahitaji sana hii dawa. Nikamsisitiza sana aniambie gharama, akakataa kabisa. We kept in touch na mwaka 2016 nilivyoenda Dar, ndo nikaenda Aga Khan na kuonana nae kwa mara ya kwanza!! Tuliendelea kuwasiliana kwa ukaribu sana, na kushirikiana kwenye mambo mbalimbali...
Daahhh, nimeishiwa cha kuandika, Inatosha.
RIP kaka.
Pole sana mkuu.

Endelea kumuombea marehemu na endeleza mema yake kwa vitendo kwa wagonjwa wengine.

Mwenyezi Mungu atulinde na magonjwa yote.
 
Maana hata ukiumwa sasa hivi huruhuisiwi kuwaambia ndugu zako, utakua una misuse namba yako ambay uliiwekea airtime kwa gharama zako mwenyewe
Tisiaraei wanasema kama unahitaji kutangaza janga uende wakupe namba maalum. Yani hii serikali hatutaisahau kamwe! Inaondoka na historia chafu sana.
 
Tisiaraei wanasema kama unahitaji kutangaza janga uende wakupe namba maalum. Yani hii serikali hatutaisahau kamwe! Inaondoka na historia chafu sana.
Tisiarae wanapiga nyungu muda huu kama huyu beberu wa CCM
1588333401545.png
 
View attachment 1436328

Fayazz ambaye alikuwa Mkuu wa Aga Khan Outreach services amefariki dunia mapema usiku wa kuamkia leo.

Fayazz ni mfamasia kitaaluma.

Kliniki zote za Dar za Aga Khan (ukiacha main Hospital) ndio alikuwa anaongoza.

Taarifa zinabainisha kuwa mama yake mzazi pia yupo hoi na amelazwa.
Apo mama yake yupo hoi hospital tusha plus plus

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom