Na mtombo wa nguvu angeupata, ndio hvyo, raha zina mwisho wake, kaacha kufungua kampuni ya filamu afanye kazi kama mwenzie odama, ye anawaza show off mjini, ndo ivyo na sijui nani atamtaka, ila wanaume tulivyo dhaifu kwenye k mkund atawapata tu
Analia kwa mengi na kama ana mimba kweli du mzigo wake ni mzito
Alikuwa mdau wa Bongo Movie au mdau wa mabinti wa Bongo Movie??? Neutralization
Nipo kwenye msiba apa napanga viti na kukaribisha wageni, jamani leo napataje umbea, mpaka najisikia kufa
hahawaq binamu acha sound bwana
Johnson lukaza
Jaman habarin me ni mgeni humu ndani,huyu kaka aliyefariki namfahamu vyema alikuwa bestman wa ndoa ya rafiki yangu ameacha mke na watoto watatu,mkewe ni mcha Mungu sana,ila kwa hakika dunia ina mambo baada ya kufa kwake ndo familia inagundua kuwa alikuwa bwana wa Lulu na ndo aliyempa ujauzito,hakika tunahitaji neema ya Mungu katika haya maisha
ataitoa maana na mimba hyo
msingi kiuno ataishije?
Nipo kwenye kamati ya vinywaji
Maskini inabidi atafute mtu wa kumlipia pango ya nyumba badala angeomba ajengewe yeye kafurahia kupangishiwa
Siku yake haikufika, kaifikisha Lulu. Ndio michezo yake hiyo.
mi km huyo mke huyu mbwa lulu ht msibani asije na hapati chochote kwenye mgao wa mali kwanza kaacha mimba sio mtoto so simjui simtambui
Na mtombo wa nguvu angeupata, ndio hvyo, raha zina mwisho wake, kaacha kufungua kampuni ya filamu afanye kazi kama mwenzie odama, ye anawaza show off mjini, ndo ivyo na sijui nani atamtaka, ila wanaume tulivyo dhaifu kwenye k mkund atawapata tu
Nyumba kubwa ipo vizuri
Ila tatizo mijanaume ikipata bana...ni shidaaa
Unaacha mkeo ndani...
Mwanamke wa haja...
Unafata cha wote ptuuuuu...