Hatari wakuu
Taarifa zilizonifikia hivi punde mjumbe wa kamat tendaji ya YANGA amefariki dunia Leo asubh taratbu Za mazishi zinafanyika mbezi beach nyumban kwake marehemu
Ikumbukwe ndugu kibodya alichaguliwa siku s nyingi na mwenyekiti wa klabu ya YANGA Dr msolwa
Source: e fm redio