Tanzia: Msanii Jebby afariki dunia kwao Dodoma

"Angekuwepo rafiki nisingewaza,
Rafiki kipenzi niliyempenda,
Hayupo tena duniani SWAHIBA,
Nilompenda mpaka kumoyo SWAHIBA.

Alinisihi sana maisha haya, nisiwaseme watu kwa mabaya....."

My Mom used to love this song.

R.I.P Jebby, untill we meet again.
 
Hana picha ya passport size aliyopiga Bila swaga?
 
"Twendeni tukahani msibani vitambaa vyeupe mikononi x 2 yupo kwenye Jeneza Swaiba" Dah jamaa alikua na kipaji kikubwa sana ila Bahati hakuwanayo. Mfano nyimbo kama Swaiba, wanapagawa, Dunia haina siri, na hata kundi la Tmk alilolianzishi akiwa na Marehemu YP pia walifanya vizuri tu. RIP Jebby.
 
Duuuh sauti yake tu,so unique n huchoki isikiliza

Rest in peace Jebby
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…