Msemaji mkuu wa kambi ya wafiwaNani huyo anamtaja Stive kwenye huu uzi
Poleni sana.Kwa kweli ni huzuni moyoni kumpoteza baba yangu wa hiari mzee Mashaka, huyu mzee alikuwa na roho ya kipekee sana kila mtu alimpenda mazishi yatakuwepo ilala bungoni japokuwa kwake ni ubungo kibo[emoji22][emoji22][emoji22]..inauma sana mzee umefariki ghafla ingali bado wanao tulikuwa bado tunakutegemea
Asante mkuu ndugu jamaa,na marafiki bado hawahamini kabisaPoleni sana.
Halafu zawadi na wenzie wakamchuna mpaka basi.Nilipenda igizo lake moja ameigiza ametoka nje ya nchi kurudi akawa ni mtu wa starehe
We bado kijana mdogo huendaR.I.P sikupata kumfahamu
Kaole nimewaona mkuu sindo akina ray, kanumba, mainda, Johari and the so on...We bado kijana mdogo huenda
undefinedsana enzi zao hawa na kina seki,dr chen,mambo yalikuwa mambo,RipSana, kuna dada mmoja aliitwa peace sijui yuko wapi, akina tabia. Wakati huo maigizo yakikuwa na mvuto kuliko bongo movie