bonvize
JF-Expert Member
- Feb 4, 2010
- 328
- 239
Dr
Sebi mwenyewe katika uhai wake hakuweza kutetemesha soko la madawa, ndio angeweza yeye?Si unajua angetoa hiyo documentary angeharibu deal za watu za trillions of dollars wanazofaidika nazo kwa huu ugonjwa wa magumashi aka ukimwi. So ilibidi amalizwe asimalizie project hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app