Sebi mwenyewe katika uhai wake hakuweza kutetemesha soko la madawa, ndio angeweza yeye?Si unajua angetoa hiyo documentary angeharibu deal za watu za trillions of dollars wanazofaidika nazo kwa huu ugonjwa wa magumashi aka ukimwi. So ilibidi amalizwe asimalizie project hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Si walimuwahi...wakampa.kesi aliposhinda kesi maana mahakama ilimuagiza alete wagonjwa 7 kama ushahidi yeye akaleta 77. Akashinda kesi. Ndo ghafla akafarikiDr
Sebi mwenyewe katika uhai wake hakuweza kutetemesha soko la madawa, ndio angeweza yeye?
Huwezi lazima watu wawe aware so lazima utangaze ili watu waamke ndo hapo lazima wakuwahi. Nakwambia ukitibu ukimwi kansa etc jua haumalizi kwaka wanakuua.
Aise kweliHuwezi lazima watu wawe aware so lazima utangaze ili watu waamke ndo hapo lazima wakuwahi. Nakwambia ukitibu ukimwi kansa etc jua haumalizi kwaka wanakuua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani waswahili bana,eti CIA,yaani mtu anakurupuka tu na kusema fulani wamehusika bila kuleta vielelezo.Black gangs na Beefs za kijinga zinawamaliza sana Blacks.Mleta habari,badala ya kuleta taarifa ya kifo nawe unaongeza udaku wa akina Shigongo,,eti inaaminika,eti inasemekana sijui CIA ndi wanahusika,nani kakwambia kama sio uzushi na udaku
Unajua ni muda gani umepita tangu aliposhinda kesi hadi kifo chake akiwa gerezani kwa mashitaka ya kutakatisha fedha?Si walimuwahi...wakampa.kesi aliposhinda kesi maana mahakama ilimuagiza alete wagonjwa 7 kama ushahidi yeye akaleta 77. Akashinda kesi. Ndo ghafla akafariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kesi ya mauaji ya Tupac & biggie zilikuwa solved muuwaji alijulikana?mpaka leo....Yaani waswahili bana,eti CIA,yaani mtu anakurupuka tu na kusema fulani wamehusika bila kuleta vielelezo.Black gangs na Beefs za kijinga zinawamaliza sana Blacks.
Unafahamu lini alishinda kesi yake na lini alikufa kwa homa ya mapafu akiwa gerezani kwa tuhuma za kutakatisha fedha?Huwezi lazima watu wawe aware so lazima utangaze ili watu waamke ndo hapo lazima wakuwahi. Nakwambia ukitibu ukimwi kansa etc jua haumalizi kwaka wanakuua.
Sent using Jamii Forums mobile app
So sadRapa kutoka West Coast Nipsey Hussle afariki dunia baada ya kupigwa risasi nje ofisi ya kampuni yake ya nguo ambapo alikuwa yupo akipiga picha na watoto wadogo.
Mpaka Sasa inasemekana C.I.A ndiyo wanaohusika maana alikuwa yupo mbioni kufanya documentary ya Dr.Sebi- ambaye alikuwa ni daktari mwenye asili ya kiafrika aliyekuwa akitibu Ukimwi,kansa na kisukari na kwa kutumia dawa za mimea,Dr.Sebi naye alifariki miaka kadhaa iliyopita na inaaminika pia aliuawa na hawa Hawa C.I.A. Alale panapostahiliView attachment 1059881
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengi wanasema?.Bila ushahidi,USA kila mtu anamiliki bunduki,Kma una beef na mtu anaweza kukuwasha tu.CIA wamuue kwa sababu tu ya kutangaza tiba ya Ukimwi ya asili?.Juz juzi kuna wagonjwa wa ukimwi walitibiwa wakapona USA,kwa nini wale ma Dr wasiuawe kma issue ni kuzuia dawa ya ukimwi isipatikane?.Maisha ya Blacks USA yana mambo mengi sana.Hivi kesi ya mauaji ya Tupac & biggie zilikuwa solved muuwaji alijulikana?mpaka leo....
Sawa yawezekana pia Kifo cha hyu kikawa gangrelated violence ....mambo cripps&blood
Ila watu wengi huko L.A wanasema Kifo chake ni non-related gang violence!
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Especially Hawa wasanii kujingiza kwenye magangs na kuwa diss magangs wengineWatu wengi wanasema?.Bila ushahidi,USA kila mtu anamiliki bunduki,Kma una beef na mtu anaweza kukuwasha tu.CIA wamuue kwa sababu tu ya kutangaza tiba ya Ukimwi ya asili?.Juz juzi kuna wagonjwa wa ukimwi walitibiwa wakapona USA,kwa nini wale ma Dr wasiuawe kma issue ni kuzuia dawa ya ukimwi isipatikane?.Maisha ya Blacks USA yana mambo mengi sana.
Mzee walitibiwa na pharmaceutical companies,na sio herbs medicine,uwe unaficha basi ujinga wako,sio lazima kila mtu ajue wewe ni mjinga japo una fake IDWatu wengi wanasema?.Bila ushahidi,USA kila mtu anamiliki bunduki,Kma una beef na mtu anaweza kukuwasha tu.CIA wamuue kwa sababu tu ya kutangaza tiba ya Ukimwi ya asili?.Juz juzi kuna wagonjwa wa ukimwi walitibiwa wakapona USA,kwa nini wale ma Dr wasiuawe kma issue ni kuzuia dawa ya ukimwi isipatikane?.Maisha ya Blacks USA yana mambo mengi sana.
Ina evidence hao wagonjwa wamepona??? Au unaropoka baada ya kula maharage kwa mama ntilie??Watu wengi wanasema?.Bila ushahidi,USA kila mtu anamiliki bunduki,Kma una beef na mtu anaweza kukuwasha tu.CIA wamuue kwa sababu tu ya kutangaza tiba ya Ukimwi ya asili?.Juz juzi kuna wagonjwa wa ukimwi walitibiwa wakapona USA,kwa nini wale ma Dr wasiuawe kma issue ni kuzuia dawa ya ukimwi isipatikane?.Maisha ya Blacks USA yana mambo mengi sana.
Unaweza ukazitaja hizo gangs??? Au unaropoka tu???? Hizo gang zenyewe unazisoma google hata Marekani hujawahi fika foolishEspecially Hawa wasanii kujingiza kwenye magangs na kuwa diss magangs wengine
Ukifatilia sana mambo hayo utakuta Tupac yalimponza baada ya death row kujaa wahalifu magang waliyokuwa na visasi na magang mengine
Mwisho wa siku lazima violence errupt
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
RNB wanakesha kuimba mapenzi,Hip Hop wanaikosoa Serikali,sio kila anayeuawa na bunduki ni gang related violence, nyingine ni serikaliRip Nipsey. Najiuliza sana kwanini wasanii wengi wa hiphop wanauwawa kwa bunduki?! Huwezi sikia wasanii wa RNB, Pop nk wamepigwa risasi ila mostly ni wanahiphop.
Haya ndo matatizo ya kuzaliwa ktk familia ambayo baba anashinda kijiweni,halafu na unaezaliwa unakulia ktk vijiwe vya kahawa,Mleta habari,badala ya kuleta taarifa ya kifo nawe unaongeza udaku wa akina Shigongo,,eti inaaminika,eti inasemekana sijui CIA ndi wanahusika,nani kakwambia kama sio uzushi na udaku
Ajabu kubwa ni blacks wanauana wao kwa wao,wala msiwasingizie CIA,ss waafrika ni hovyo kabisa,hovyooooEspecially Hawa wasanii kujingiza kwenye magangs na kuwa diss magangs wengine
Ukifatilia sana mambo hayo utakuta Tupac yalimponza baada ya death row kujaa wahalifu magang waliyokuwa na visasi na magang mengine
Mwisho wa siku lazima violence errupt
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app