Akili za Jussie Smollet.Wewe ndo kitobo kweli,ndo shida ya kuzaliwa na mwanamke barmaid,mama ako alipitiliza siku zake kwenye madanguro huko baba ako akasahau kumwaga nje ndo ukazaliwa wewe tahira unakuja kuongea mashudu hapa, jaribu kuficha upumbavu wako basi,mbona unakuwa kama sio shoga wewe???
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa Dr Sebi labda kama huna pesa...but kama unaumwa na una hela kwa yule mzee unapona!Dr
Sebi mwenyewe katika uhai wake hakuweza kutetemesha soko la madawa, ndio angeweza yeye?
Exactly [emoji122][emoji122]Si walimuwahi...wakampa.kesi aliposhinda kesi maana mahakama ilimuagiza alete wagonjwa 7 kama ushahidi yeye akaleta 77. Akashinda kesi. Ndo ghafla akafariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiombe ktk tiba zako ugusie eti sijui unaponesha ukimwi Marekani wanakudunga sindano ya nimoniaHuwezi lazima watu wawe aware so lazima utangaze ili watu waamke ndo hapo lazima wakuwahi. Nakwambia ukitibu ukimwi kansa etc jua haumalizi kwaka wanakuua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna yule dogo Xxxxtentacion nae alikuwa anadiss marapa wengine kama akina DrakeRip Nipsey. Najiuliza sana kwanini wasanii wengi wa hiphop wanauwawa kwa bunduki?! Huwezi sikia wasanii wa RNB, Pop nk wamepigwa risasi ila mostly ni wanahiphop.
Yeah Lauren London yule dada ni mzuri sidhani kama kuna mwanamke mzuri kama yule dunia nzima!Jana baada ya tukio celebrities wengi weusi walikuwa wakiandika kwenye insta page ya GF wake wakimpa pole na kumuomba awe strong. Wana mtoto mmoja na mrembo ni mrembo hasa na walikuwa wakipendana sana.
Umenichekesha sana Witness ,utafikiria alikuwa Uncle wangu
Yeah alipigwa shaba maeneo ya Deerfield Beach Florida. Alikua bwana mdogo sana. Imekua kama fashion flani hivi kwa marapper kufa kwa kupigwa risasiKuna yule dogo Xxxxtentacion nae alikuwa anadiss marapa wengine kama akina Drake
Katoka kupigwa chuma juzi wakamwibia na hela kwenye gari
Sent using Jamii Forums mobile app
Na sio Doc tu..Nipse alikuwa anataka afungue Herbs store ili watu waendeleze libeneke la kutibiwa...mzungu hakuachi, uzuri na yeye alikuwa anajua kuwa hiki kitu chaweza kugharimu maisha yake!Bila ya shaka Mkuu. Kafukua kaburi ambalo watenda dhambi hawakutaka lifukuliwe milele. Inatisha sana.
Alikuwa kwenye hiyo project pia but altaka awereness kwanza!kwanini asiendeleze hizo Dawa za mitishamba za kuuondoa kabisa UKIMWI kuliko kutengeneza Documentary ya Mauaji ya Dr Sebi
uanajua wenzetu vitu vyote vipo katika maandishi tofauti na sisi tunaoruka na ungo bila kuuhifadhi huu utaalam
Anaenda kufa huyonasikia Nick Cannon kasema yu tayari kuifadhili imaliziwe
Ana hamu na kwa Sir God...Mariah Carey anakuwa mjane very soon[emoji24]Ni kweli kasema hivyo Mkuu.
Asante[emoji16]...najua mtoto wa Arachuga haya ndo mambo yenuUmenichekesha sana Witness ,utafikiria alikuwa Uncle wangu
Pole na wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule dogo kauliwa kwa wivu lkn kitaa....watoto wa mama hawafanyi kazi ni vibaka tu kitaa, sasa wamekuwa na dogo kimasihara wanaona anatoboa!Yeah alipigwa shaba maeneo ya Deerfield Beach Florida. Alikua bwana mdogo sana. Imekua kama fashion flani hivi kwa marapper kufa kwa kupigwa risasi
Wabongo ni wepesi wa kupokea taarifa ambazo hawana uhakika nazo na kuanza kuzifanyia upembuzi yakinifu na kuzitolea hukumu.