Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Kweli MkuuView attachment 1060769View attachment 1060770
Mwana JF Deception ameandika sana kuhusu hii topic ya HIV/AIDS
Ukweli una tabia ya kunuka!
Sent using Jamii Forums mobile app
Siujui
Hapo haitaji nguvu ya Magufuli kubaini huyo ni mwanaume wa namna gani, kaniacha sana na maswali eti hana demuAhaaaaaahaaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]...nimemwambia demu wake anamzidi Lauren eti hana demu huuhuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha mkuu mbavu zanguHapo haitaji nguvu ya Magufuli kubaini huyo ni mwanaume wa namna gani, kaniacha sana na maswali eti hana demu
Anataka mtelemko wa kupiga helakwanini asiendeleze hizo Dawa za mitishamba za kuuondoa kabisa UKIMWI kuliko kutengeneza Documentary ya Mauaji ya Dr Sebi
uanajua wenzetu vitu vyote vipo katika maandishi tofauti na sisi tunaoruka na ungo bila kuuhifadhi huu utaalam
Soma kule juu,huyu jamaa ndo ameanza ku talk shit baada ya sisi ku criticize alichokipost kwamba hakina ushahidi.Akaanza kutukama na kuita wau hawana akili.Sisi ni watu wastaarabu sana kama mtu akiongea kistaarabu,ukiongea bangi na wewe utapewa bangi tu.Jamaa ananitukania mpaka bi mkubwa angu kabisa as if anahusika hapa.Wewe unaona ni kawaida tu au sio?Mkuu unaropoka sana kama mwajuma ndala ndefu then hauna facts,Uzi wote huu wewe ndo unabonga non sense ndo maana jamaa kakuchana , you are a shit hole
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna anayebisha kuwa alikuwa anatibu watu ila kusema kuwa jamaa ameuliwa kwa kuwa alikuwa anataka kutoa documentary ya Dr Sebi hapo ndio kwenye tabu kwa kuwa tangu kushinda kesi hadi kufa kwake ni zaidi ya robo karne. Wakati wa uhai wake alishindwa kuteteresha soko la madawa ya viwandani ndio angekuja weza mtoa documentary?Kwa Dr Sebi labda kama huna pesa...but kama unaumwa na una hela kwa yule mzee unapona!
Watu wengi wamepona kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu iko hivi mkuu...Dr Sebi walimuwekea kauzibe mbaya tu....kibaya zaidi, kesi akawa anashinda + evidence za watu kupona so ikabidi wamuwahi kabla mambo hayajawa makubwa!Hakuna anayebisha kuwa alikuwa anatibu watu ila kusema kuwa jamaa ameuliwa kwa kuwa alikuwa anataka kutoa documentary ya Dr Sebi hapo ndio kwenye tabu kwa kuwa tangu kushinda kesi hadi kufa kwake ni zaidi ya robo karne. Wakati wa uhai wake alishindwa kuteteresha soko la madawa ya viwandani ndio angekuja weza mtoa documentary?
Ametibu for more than 40 years na amekufa akiwa mzee kabisa, kwa nini hawakumuuwa akiwa kijana wamekuja kumuuwa wakati umri umeshakwenda?Alfredo Bowman ( Dr Sebi ) kawajambisha sana wazungu!
Michael Jackson alikuwa for long decades anatumia painkillers za wazungu kuzuia yale maumivu aliyoungua 1984 kwa tangazo la Pepsi....alivyomjua huyu mzee akaenda Honduras kutibiwa!
Mzee akampa mitishamba kibao iliyokwenda shule MJ akapona mpaka bipolar, Insomnia!
Basi wazungu wakaona biashara yao ya madawa huyu mzee anaitia gundu coz watu wengi America hasa blacks celebs walikuwa na ngoma na mzee anawatibu, mpaka wazungu kina Steve Seagal, Pierce Brosnan wameponeshwa na huyu babu!
Wazungu ( system) wakamfyekelea mbali kwa kumrushia gonjwa akiwa jail...
Sent using Jamii Forums mobile app
ameshinda kesi gani zaidi ya kesi moja tu iliyomfanya kuwa maarufu? Kauzibe gani na ingali alikuwa anaendelea kutibu na kutoa miadhara.Ishu iko hivi mkuu...Dr Sebi walimuwekea kauzibe mbaya tu....kibaya zaidi, kesi akawa anashinda + evidence za watu kupona so ikabidi wamuwahi kabla mambo hayajawa makubwa!
Huyu Nipse alitahadharishwa kuwa awe makini na kitu anachotaka kufanya coz atauliwa, na ni mwaka Jana akajibu kuwa anajua atauliwa coz hakuna atakayedumu milele duniani...
Na kweli kavuta!
Sent using Jamii Forums mobile app
Amekufa kwa ugonjwa wa homa ya mapafu akiwa mahabusu kwa tuhuma za kutakatisha fedha.
Hii tabia iliyozuka huku Tanzania ya kuamini na kusema kila mwanasiasa ametekwa na TISS inawafanya muitumie kila mahali na kwa kila tukio hata kama hamna uthibitisho.Ishu iko hivi mkuu...Dr Sebi walimuwekea kauzibe mbaya tu....kibaya zaidi, kesi akawa anashinda + evidence za watu kupona so ikabidi wamuwahi kabla mambo hayajawa makubwa!
Huyu Nipse alitahadharishwa kuwa awe makini na kitu anachotaka kufanya coz atauliwa, na ni mwaka Jana akajibu kuwa anajua atauliwa coz hakuna atakayedumu milele duniani...
Na kweli kavuta!
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudia kusoma nilichoandika,Aliekudanganya kuwa hao wazungu hawauani na hawaui watu nani ? Hizo silaha wanazotengeneza ni kwa ajili ya nani au nini ? Huku Afrika kuna viwanda vya silaha?
Akasikilize wimbo wa The story of OJ, ape sh*t , niggaz in Paris na Empire state of mind.Anasema umtajie hata ngoma nne au tano ambazo Jay z anawachana blacks wenzake,cause kasema album zote za Jay z anazo ila hajawahi kumsikia akisema hivyo,kwa hiyo taja hizo ngoma ikiwezekana na lyrics ili uprove yupo wrong then tujue nani kilaza wewe au yeye??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu kubwa ni blacks wanauana wao kwa wao,wala msiwasingizie CIA,ss waafrika ni hovyo kabisa,hovyoooo, hayo maneno hujaandika wewe ? Au unaota , aliekuambia wazungu hawauani nani ? Wale wanaoenda kuuwa watu misikitini na mashuleni ni waafrika ? Cha kuwatukana waafrika wenzio ninini ?Rudia kusoma nilichoandika,
Au niweke koma kila baada ya neno ili utafakari na kuelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app