Alfredo Bowman ( Dr Sebi ) kawajambisha sana wazungu!
Michael Jackson alikuwa for long decades anatumia painkillers za wazungu kuzuia yale maumivu aliyoungua 1984 kwa tangazo la Pepsi....alivyomjua huyu mzee akaenda Honduras kutibiwa!
Mzee akampa mitishamba kibao iliyokwenda shule MJ akapona mpaka bipolar, Insomnia!
Basi wazungu wakaona biashara yao ya madawa huyu mzee anaitia gundu coz watu wengi America hasa blacks celebs walikuwa na ngoma na mzee anawatibu, mpaka wazungu kina Steve Seagal, Pierce Brosnan wameponeshwa na huyu babu!
Wazungu ( system) wakamfyekelea mbali kwa kumrushia gonjwa akiwa jail...
Sent using
Jamii Forums mobile app