Katika muda mfupi kama ule, tayari madhara yalishatokea, angalau Wamechukua uahahidiHata ivo waganda hawanaga akili timamu wanaona mtu anapigwa vibaya wao wamekazana na smart phone zao they are hopeless ndo maana yanatawaliwa na Mtu mmoja miaka yote yapo yametulia kama ma kondoo tu stupid
Me naogopa kufungua hiyo video naona kama ita disturb akiliR.I.P JAJAA MOWZEY
He deservedMose alikuwa na tatizo kubwa la ugomvi na uchokozi, ana makesi kibao kampala, last year kuna radio host anaitwa kasuku alimtabiria kifo baada ya mose kuvamia party na kutupa laptop ya dj kwenye swimming pool ,jamaa aliwaomba wasikilizaji warekodi kabisa, akasema...mose akiendelea na tabia yake hii kuna siku atapigwa kichwa kipasuke ana atakufa..sasas imetokea kweli...back to the issue ya entebe...
Mose alikuwa anatoka na washkaji zake kuangalia ujenzi wa nyumba yake entebe akamuu kupita hapo de bar kunywa,akamzengua meneja kwamba hana uwezo wa kumnunulia black bottle belaire..meneja akakasirika akamnunulia bottle moja jamaa akafungua kwa dharau akammwagia mteja aliyekuwa anajinywea zake,ndipo vurugu zilipoanza
Mda mfupi wakati kambamiza kwenye cjui ukuta wameangalia kambeba tena kambamiza chini wameangalia baada ya muda kampiha tena mateke wameangalia na vismart phone vyao alafu unasema kitenda cha mda mfupi kama ni kitendo cha mda mfupi mda wa kuchukua video wameutoa wapi.narudia tena they are hopeless people and stupidKatika muda mfupi kama ule, tayari madhara yalishatokea, angalau Wamechukua uahahidi
Alafu kapigwa na baunsa watu wanamlalamikia baunsa bila kujua tatizo kaanzisha yeye, tunalaumu matokeo bila kuangalia chanzo. Yeye kama msanii mkubwa alitakiwa awe mfano ktk kusolve mambo kistaarabu. Alale mahali panapostahiliMose alikuwa na tatizo kubwa la ugomvi na uchokozi, ana makesi kibao kampala, last year kuna radio host anaitwa kasuku alimtabiria kifo baada ya mose kuvamia party na kutupa laptop ya dj kwenye swimming pool ,jamaa aliwaomba wasikilizaji warekodi kabisa, akasema...mose akiendelea na tabia yake hii kuna siku atapigwa kichwa kipasuke ana atakufa..sasas imetokea kweli...back to the issue ya entebe...
Mose alikuwa anatoka na washkaji zake kuangalia ujenzi wa nyumba yake entebe akamuu kupita hapo de bar kunywa,akamzengua meneja kwamba hana uwezo wa kumnunulia black bottle belaire..meneja akakasirika akamnunulia bottle moja jamaa akafungua kwa dharau akammwagia mteja aliyekuwa anajinywea zake,ndipo vurugu zilipoanza
Juha ni wewe usietaka kujiongeza au kusikiliza maoni tofauti na kile unachotaka kusikia pimbi weweacha ujuha
Can't live to forget this,,,,,at New Nana Hostels makerere,those were my finest times blessed with finest music,,,
Mkuu unadhani wangepoteza muda kumsaidia na sisi tungepata wapi video za kuona tukio lilivyokuwa na kupata ushahidi mzuuuriiii mahakamani hivyo maisha tunategeana,mwisho wake ulifika na kipigo ni sababu tu,asingepata kipigo huenda hata usingizini,wengine wanasema daidomo ndio maana ana baunsa atamsaidia vipigo ila huenda akaondoka na ukimwi.Mda mfupi wakati kambamiza kwenye cjui ukuta wameangalia kambeba tena kambamiza chini wameangalia baada ya muda kampiha tena mateke wameangalia na vismart phone vyao alafu unasema kitenda cha mda mfupi kama ni kitendo cha mda mfupi mda wa kuchukua video wameutoa wapi.narudia tena they are hopeless people and stupid
Na ninyi mtakua waganda maana naona akiri zenu zinafanana na waliokuepo kwenye tukioHe deserved
Ndiyo mkuu...ninyi watanzania si mnasema 'dawa ya moto ni moto' anafanya fujo alipwe kwa fujoNa ninyi mtakua waganda maana naona akiri zenu zinafanana na waliokuepo kwenye tukio