Tanzia: Msanii wa vichekesho, "KIinyambe" afariki dunia huko Mbeya

Tanzia: Msanii wa vichekesho, "KIinyambe" afariki dunia huko Mbeya

kizeze

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2012
Posts
316
Reaction score
337
f2c6867c027f42aa9dcc7348f69f6594.jpg

Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwao Mbeya.

Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameithibitisha kuwa, msanii huyo wa filamu ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James Nsemwa, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
image.jpeg


 
Mwigizaji maarufu aloyejizolea sifa kwa uigizaji wake wa kipekee almaarufu kama kinyambe amefariki usiku huu...
1aa1454b0d549ec091bbe166e0c99ec1.jpg
 
Back
Top Bottom