Tanzia: Msanii YP wa kundi la 'Wanaume TMK' afariki dunia

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515


Ebwana namsikiliza Zembwela hapa kwenye supamix ndio amesema.

YP ni msanii wa wanaume TMK aliyeimba kwenye Dar mpaka Moro akishirikiana na Temba na Chege au kwenye wimbo wa twenzetu akiwa na Temba na Chege.

 
inasemekana akiugua kifua kikuu kwa mda mrefuu...tusubiri wenye taharifa zaidi.
 
Ebwana namsikiliza zembwela hapa kwenye supamix ndio amesema.

Yp ni msanii wa wanaume TMK aliyeimba kwenye dar mpaka moro akishilikiana na temba na chege au kwenye wimbo wa twenzetu akiwa na temba na chege.
omg! YP is gone! R.I.P man...
 
Nikumbushe kile kipande chake kwenye ule wimbo dar - moro
 
inasemekana akiugua kifua kikuu kwa mda mrefuu...tusubiri wenye taharifa zaidi.
Nimekaa na YP mara kibao na ingawaje sikuwahi kuhisi kwamba anaugua kifua lakini sasa ndo unanifungua macho... ni kweli alikuwa na dalili zote za mtu mwenye matatizo ya chest.
 
Yp ni msanii wa wanaume TMK aliyeimba kwenye dar mpaka moro akishilikiana na temba na chege au kwenye wimbo wa twenzetu akiwa na temba na chege.
Halafu kama kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani hata ile pini ya Y-Dash waliimba wote sema ndo hivyo tena... cjui inaitwa Hamisa ile, manake dah, long time!
 
Halafu kama kumbukumbu zangu zipo sawa, nadhani hata ile pini ya Y-Dash waliimba wote sema ndo hivyo tena... cjui inaitwa Hamisa ile, manake dah, long time!

waliimba "Pumzika" pia "Mbombo ngafu"...Yp & Ydash
 
Habari ambazo bado hazijathibitishwa, ni kwamba msanii aliyeunda kundi la T.M.K WANAUME FAMILY amefariki dunia. Sababu za kifo chake hazijajulikana bado. Nikipata taarifa zaidi nitaendelea kuwajuza. APEPE.
 
Tetes ni kwamba msanii wa bongo frever YP nikweli? mlioko temeke mtujuze,na alikuwa anaumwa nini!

Souce-mitandao ya kijamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…