R.I.P yp...jamaa alikua na ngoma demu wake alishafariki.
sijakuelewa kabisa.Tetes ni kwamba msanii wa bongo frever YP nikweli? mlioko temeke mtujuze,na alikuwa anaumwa nini!
Souce-mitandao ya kijamii.
Ndio nani huyo!!!! RIP
R.I.P yp...jamaa alikua na ngoma demu wake alishafariki.
Ndio nani huyo!!!! RIP
Umeanza na wewe, hiyo Rest in Peace inatosha, kama humjui kuwa mpole, aya umeamkaje binamu? Naona siku izi jukwaa habar ya mjini ni baba ubaya ata nafas ya kutoa ubuyu mwingine hakuna
unaniangusha ujue
YP,Y DASH,PINGU NA DESO
RIP
R.I.P yp...jamaa alikua na ngoma demu wake alishafariki.
Hhhjjaaaaaaaa, kumbe huyoo binamu naona habari za domo zimekubana hatareeee hhhhhhaaaaaaaaaaa
Bina toa tu maubuyu wachangiaji wapoo hhhhhaaaaaa