Msanii wa kundi la Wanaume Family "YP" amefariki Dunia jana usiku Hospitali ya TMK ambako alikuwa akisumbuliwa na kifua kwa muda mrefu lakini hali ilikuwa mbaya katika wiki mbili kabla ya kifo chake.
Meneja wa kundi la TMK Wanaume Family amedhibitisha kifo hicho na msiba hupo Keko nyumbani kwa baba yake.
Msanii YP aliimba nyimbo kadhaa kama Ulipenda Pesa', ‘Pumzika', ‘Shemsha' na nyimbo nyingi za TMK Wanaume Family kama ‘Twende zetu' ya Chege, ‘Dar mpaka Moro', ‘Kichwa kinauma',
Chanzo: Mtandao ya kijamii