TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

Uyo harlot mpaka mtoto azikwe atakuwa ka hit 1m followers, Everything is business nowdays
 

hivi instagram ndio sehemu gani, na ipo nchi gani vile!!!
Kama hayajakukuta ni rahisi sana kumponda Peter Kosovo kwa kuyaweka mambo sawa (to balance a story)...nimeanza kwa kusema, "kama hayajakukuta", hata hivyo nakubaliana na wewe juu ya ulimbukeni wa mitandaoni hasa kwa hao wanaotafuta kuonekana na umaarufu mchwara! Hii inatokana na kutojiamini wao wenyewe na hivyo 'approval' mitandaoni!...'attention seekers'!
R.I.P mtoto we Patrick!
 
hizi pumba zimeamia uku tena, bongo nyoso , bongo empty set kabisa, imekufa familia nzima mkuranga pale, hamna aliestuka, uyu mtoto mmoja ndio anatrendisha upuuzi huu kila kukicha!
 
hivi hizi dawa kwa watoto wadogo hazina madhara, huyu amepakwa madawa kichwani mda mrefu sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…