Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Ngoja nicheki game ya England na Colombia second half....I'll be back...Naomba fafanua namba 5.
Kweli kabisa mkuu huyo dogo inaonyesha angejakuwa mtata sana kunako ulimwengu wa mapenziDuh!...Rest in Peace Angel!...tukumbuke watoto wetu nao wana haki zao, tusilazimishe nao kuingia katika ulimwengu wetu wa ki "super star" kabla.majira yao hayajafika!
Nini kilitokea?Duh!...Rest in Peace Angel!...tukumbuke watoto wetu nao wana haki zao, tusilazimishe nao kuingia katika ulimwengu wetu wa ki "super star" kabla.majira yao hayajafika!
Fundisho dogo sana tunalipata kupitia huyu mtoto kwamba
1.ugomvi wa baba na mama usimuhusu mtoto......
2.matatizo ya familia hayatatuliwi mitandaoni....
3.Usitake kumkomoa mzazi mwenzako kwa kupitia mtoto...
4.Wanaume tusiwe shamba wa mapenzi kisa umepata msichana unayedhani kuwa ni mzuri na maarufu ukasahau hadi mwanao kisa tu unakula bata na huyo malaya
5.Castro na Muna ni Was.enge ugomvi wao umepelekea kifo cha mtoto wao kizembe sana
6.Wanawake/Wanaume wa mitandaoni sio wa kuoa au kuolewa nao hawana family ethics...
7......ongezea.....
Kwan hata za mtoto atashika yeyeBcc: Steve Nyenyere
Hawa ndiyo watanzania halisi mkuuKinachonishangaza ni jinsi ambavyo watanzania wamekua busy kupost picha za mtoto huyu kwenye mitandao na kuonesha majonzi makubwa ili hali ndugu zao/marafiki wa karibu wanapougua au kupoteza maisha hua hawapost au kuumia kiasi hichi!
Huu sio ulimbukeni?
Pole kwa wafiwa na Mungu awatie nguvu
Siyo mwanae yule, mtoto kamkuta alipoanza uhusiano na Mama yakeMtoto anaumwa serious baba mtu yupo bize anachora Tattoo ya malaya maisha haya dah, Rip little model.
Una uhakika gani mkuuu ama ndio hadithi za kusimuliana kama alibebeshwa matunguli ya kichawi na mama yake muna bado atakua innocent?bado innocent kwa mungu.hana wasiwasi huko aendako. Shughuli ipo kwetu.
Umejuaje kama ni malaika?[emoji23] hakuna kila mtoto ni malaika nauliza tuu usinifikirie vibaya maana atakufiwa na mimi nimefiwa sanaa tuuDuh akapumzike kwa amani malaika huyu
Mbona watu wanapostigi picha za watoto wanauliwa Syria na maneno Pray for Syria hamuwasemi. Cha maana kipo sababu amepigania maisha yake muda mrefu aliacha mpaka shule. Kwa umri wake mdogo kutoka kutembea kwa miguu yake miwili mpaka kutembelea baiskeli lazima iguse watu wazima.Natoa pole kwa wafiwa wote.
Lakini kila kitu ni upuuzi mtupu.
Sijaona cha maana au cha msingi cha kufanya kifo cha huyo mtoto kuwa story za kuvuma mitandaoni. Ni ulimbukeni mtupu.
Huyo mtoto ni nani?
Wazazi wake ni wakina nani?
Kuna kitu gani so special kumhusu huyo mtoto au wazazi wake?
Ulimbukeni wa kiwango kikubwa sanaaaa tena kiwango cha rami..... Sijui kama muna yeye atakuja kuwapost hao....si unajua shobo mzee babaKinachonishangaza ni jinsi ambavyo watanzania wamekua busy kupost picha za mtoto huyu kwenye mitandao na kuonesha majonzi makubwa ili hali ndugu zao/marafiki wa karibu wanapougua au kupoteza maisha hua hawapost au kuumia kiasi hichi!
Huu sio ulimbukeni?
Pole kwa wafiwa na Mungu awatie nguvu
Tasnia ya bongongada kundi moja na petii man wakuache na wema sepetu...japo alijiingiza kwenye dini baada ya kuona mambo yako hovyo.. Na mtoto dalili ya kupona ilokua hainokeniR.I.P mtoto mdogo,umeitwa ungali mdogo Pepo ni yako naamini Mungu hilo yupo radhi nalo...
Samahani wakuu out of topic,huyu Munalove ninani na yupo ktk tasnia gani bongo?
Tujifunze kuheshimu maamuzi ya watu wazima yasiyovunja sheria za nchi.Ulimbukeni wa kiwango kikubwa sanaaaa tena kiwango cha rami..... Sijui kama muna yeye atakuja kuwapost hao....si unajua shobo mzee baba
nimesoma kwa utulivu mkubwa KARMA IS BITCH....Mungu kaamua kumchukua kiumbe wake kumpunguzia maumivu mengi mbeleniAliye changia asilimia 99.9% ya huyo mtoto kufariki dunia ni mama yake.*
Munalove salamu zako hizi kama hutaki potezea..