TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

TANZIA: Mtoto wa Rose Nungu (Munalove) Patrick Peter Zacharia Komu (Partsmartboy) Afariki dunia

Tasnia ya bongongada kundi moja na petii man wakuache na wema sepetu...japo alijiingiza kwenye dini baada ya kuona mambo yako hovyo.. Na mtoto dalili ya kupona ilokua hainokeni
Safi mkuu asante sana...
 
Natoa pole kwa wafiwa wote.

Lakini kila kitu ni upuuzi mtupu.
Sijaona cha maana au cha msingi cha kufanya kifo cha huyo mtoto kuwa story za kuvuma mitandaoni. Ni ulimbukeni mtupu.

Huyo mtoto ni nani?
Wazazi wake ni wakina nani?
Kuna kitu gani so special kumhusu huyo mtoto au wazazi wake?
Hata mimi nimejiuliza sana hii kitu
 
R. I. P mtoto wa munalove1. Ila Muna Mungu anakuona.. Ulitaka Casto apate taarifa ya ugonjwa wa mtoto kupitia instagram? Umekata mawasiliano na Casto...ila mashabiki zako wanamtukana sana kijana wa watu.
 
True wanawake wengi sana huwaaribu watoto wao kwa kuwatupia lawama za baba za watoto ili waonekane mababa ni wabaya wakati chanzo kikuu huwa kina mama,kiwafanyacho kina baba kukwepa gubu au dharau
 
Back
Top Bottom