Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Yeah nimeamua kuweka picha hii kuthibitisha...niliona comment yako kule...ulikuwa na mashakakenya talk ulikua ni wewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah nimeamua kuweka picha hii kuthibitisha...niliona comment yako kule...ulikuwa na mashakakenya talk ulikua ni wewe?
Wazijuice,sausage,burger etc,vinatumaliza
Plus vipodozi na make ups za mamajuice,sausage,burger etc,vinatumaliza
Mkuu mshana wanasema kunaushirikina hapa vp kama mtaalam wa mambo ya rohoni umeona nn?nimesoma kwa utulivu mkubwa KARMA IS BITCH....Mungu kaamua kumchukua kiumbe wake kumpunguzia maumivu mengi mbeleni
vnawamalza wanaume wa dar !!!juice,sausage,burger etc,vinatumaliza
Hakuna kifo kinachokosa sababu hasa cha mtoto kama huyo as if alizaliwa asife..kumbuka kuna wengi wa umri wake wamekufa wote siku moja ila hawatambuliki...Mkuu mshana wanasema kunaushirikina hapa vp kama mtaalam wa mambo ya rohoni umeona nn?
Safi mkuu asante sana...Tasnia ya bongongada kundi moja na petii man wakuache na wema sepetu...japo alijiingiza kwenye dini baada ya kuona mambo yako hovyo.. Na mtoto dalili ya kupona ilokua hainokeni
Hata kama sio mwanaye ndiyo asimjali? Au tuseme hampendi mpenziwee kama anashindwaSiyo mwanae yule, mtoto kamkuta alipoanza uhusiano na Mama yake
Makubwa haya sasa!Ukija kuangalia kwa makini ni usasa wa mzazi ,makeups zenye sumu alizokuwa anatumia huku ana mtoto mdogo...vyakula alivyokuwa anampatia na vinywaji pia
Hata mimi nimejiuliza sana hii kituNatoa pole kwa wafiwa wote.
Lakini kila kitu ni upuuzi mtupu.
Sijaona cha maana au cha msingi cha kufanya kifo cha huyo mtoto kuwa story za kuvuma mitandaoni. Ni ulimbukeni mtupu.
Huyo mtoto ni nani?
Wazazi wake ni wakina nani?
Kuna kitu gani so special kumhusu huyo mtoto au wazazi wake?