Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Alikua bado hajaolewa.. Saguda alikua mchumba wake.
Alikuwa anaishi na mpenzi wake Saguda
mkuu saguda george wa Rj company au?
hili ni dili kwa Steve nyerere. fursa nyingine hii.
mkuhu poleh sanah mkuhu
Ben yupo bize kumtoa shettani ccm kwenye pan go la kijani LumumbaId yako inanikumbusha zilipendwa wangu dear kutoka moyoni Ben Saanane....... CCM sijui wamemfanyaje.
Hiki chama kipigwe mawe tu
Naona Post yako ya kwanza umeniqoute mimi. Kosa langu ni lipi hapo? ulitaka niseme alazwe wapi?
Msanii maarufu wa filamu nchini, irene pancras uwoya, amepojikuta akipoteza fahamu uwanja wa leaders ambapo mwili wa marehemu rachel saguda ulipokuwa ukiagwa.
Alisha fanyia mazoezi hii Kitu... Simpi pole
Alisha fanyia mazoezi hii Kitu... Simpi pole