aluuu, kumbe odama naye mama kijacho
Aliiliimarehemuuu analili alioshea naenabibie m nimeenda kipunguni juzi wanawakewanalia niwazuri tu mkewebmarehemu kaliakayalliza
Kuuliza naambiwa jamaa wanaliabaadayakujuana marafiki wamepitiwakama njugu billakujua na jamaa
Usiniulize zaidi
Heshimu ndoa Yako
Kibonde mnamwona katuni sikiyasiku anakumbukwa milele
Hahhhhha sasa ukizipata namba unaanzaje kuwapigiaa,au watsapp unarusha picha au hebu nipe teknik zako
Unapiga wakipokea unajifanya wrong number hapo shuti sauti imelegea.lazima aingie kingi
Hahhhhhhaa hiyo kaliiii aisee
Aliiliimarehemuuu analili alioshea naenabibie m nimeenda kipunguni juzi wanawakewanalia niwazuri tu mkewebmarehemu kaliakayalliza
Kuuliza naambiwa jamaa wanaliabaadayakujuana marafiki wamepitiwakama njugu billakujua na jamaa
Usiniulize zaidi
Heshimu ndoa Yako
Kibonde mnamwona katuni sikiyasiku anakumbukwa milele
Kazaa na nani?manake hatajwagi huyo mtu
...na mwanaume!
Vifo vya kina mama na watoto wachanga vinavyotokana na uzazi...I don't think we are doing enough to reduce them! Sasa kama Dar hapa mtu maarufu anafariki kwa uzazi na hospitali zote zipo hizi...je mke wa 'mlalahoi' vijijini ndani ndani huko atapona!? Nini wajibu wetu na sisi wanaume!? Tupo tupo tu..wake/dada/shangazi/binti zetu wanakufa tu! RIP Recho.
Shimbonyi shafoo mbe! Riwa naamini tatizo kubwa lipo kwa nyie wahudumu wa afya...halafu ndio vitanda na vifaa....lakini tatizo kubwa ni nyie...inabidi mbadilike kwa kweli