kweli binadamu maisha yetu ni mafupi sana ila huwa tunaishi kwa kujisahau mno, tunaishi kwa mazoe lakin lait tungekuwa tunakitafakari kifo na tuendako baada ya hapo tungekuwa watu tofauti, manake nimemwangalia huyo dada na hizo picha zake za uchi nikawaza sahiz kashakutana na muumba wake, sijui alipata nafasi ya kutubu au vipi eeh Mungu tusaidie
Wakati madaktari walipogoma kupigania mazingira mazuri ya kazi, wengi tuliwalaumu. Leo vifo vya wazazi na watoto vinapotokea, tunaendelea kuwalaumu madaktari......sijui TUKOJEE!! Tusisahau kumwomba Mungu, maana yule mshitaki wetu halali yuko kazini wakati wote! Ee Mwenyezi Mungu tusikie na Utuokoe!
Poleni wafiwa na wote tulioguswa na vifo hivi!
Nilisahau nikatuma picha ya mjomba!!!
nimekosea kuapload wakuu hyo picha hapo juu
Siongei kitu.
Huyu ndo Rachel.??????