Tanzia: Muigizaji Rachel Haule afariki dunia

Nimeumia kama aliyekufa ni ndugu yangu,jamani UZAZI MTIHANI NA JIHAD KWA MWANAMKE.
 
When it comes to death, there are no escapes, no coincidences, Once its ur time u will die no matter what! uwe maarufu, tajiri, masikini n.k. the only thing that can defeat death is the everlasting life, TAFAKARI!
 
rip recho.ila mi nauliza,jamani jumanne Ina nn?mbona ndo cku wanaondoka na hata maziko hufanyika cku hiyo?
 
rip recho.ila mi nauliza,jamani jumanne Ina nn?mbona ndo cku wanaondoka na hata maziko hufanyika cku hiyo?

Really? Eeh hata my dad died on Tuesday... RIP my beloved dad...

Rip Rachel
 
picha zake mbona za uchi uchi...ila hayanihusu...REST IN PEACE
 
ndo ujue kifo hakichagui, masikini na matajiri wote tutakufa, hivyo yatupasa kutenda yaliyo mema ili tutakapokufa yaigwe na waliobaki!R.I.P Recho :wave:
 
ameigiza movie gani ili tumkumbuke kwa haraka zaidi???
 
R.I.P RECHO.
Ukweli tutakumiss japo tupo njia moja
 
Ikiwa imepita wiki moja tu tangu tasnia ya filamu kuondokewa na muigizaji maarufu marehem Adam Philiph Kuambiana,tasnia hiyo imepata pigo tena baada ya kuondokewa na msanii mwingine Recho usiku Wa kuamkia leo
 
Bwana alitwaa alitoa na Bwana ametwaa, jina lake lihumidiwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…