financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Baba wee huku ni movies tu ,hayo mambo mengine mmh.usije tuuNitafuata tu,movie itakuwa sababu ya kuanzia safari kufika Njombe,nikifika huko mengine yatafuata
Basi sawa ngoja nianze kujiandaa,njombe nikaribu sana,naweza pata Ajira ya kuchuma chai au kwenye misitu kukata mbao nasikia huko kukopoa sana,ila kumbuka movie zangu
Mama kibakuli, Mke wa mzee mwny maneno kuntu muogo mchungu, Kitambo sana kati ya 2001-2004.Dah RIP.
Namkumbuka kama Mama Badul kwenye maigizo ITV.
Realest actor.
Na ujinga wote wa Bongo Muvi nilivyomuona kwenye kasha la Kigodoro ikabidi niiangalie.
Alifanya vizuri sana akiwa kama mke wa Baharia.
Watoto wa juzAyaaaaa sema unatania,haukuwahi ona maigizo ya akina seki,bishanga enzi hizo?
Mama kibakuli, Mke wa mzee mwny maneno kuntu muogo mchungu, Kitambo sana kati ya 2001-2004.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna bana hapo ndo nahisi cheo cha udada kimeshakuponyoka kiulainiiiii.
Yes huyo ndio Mwantum McharukoHivi huyu ndie anaeigiza ile mwantum
Mkuu mama kibakuli sio huyu mkuu,huyu hakuwahi igiza na muhogo mchungu enzi hizo bali alikua kundi la akina bishanga bashaija,joti,mpoki,seki,waridi
Wewe ndio humfahamu kwabisa huyu ameigiza na akina muhogo mchungu move nying nyingi tuu Bishanga hakuwa igiza naye yeye
Bishanga
Richie
Waridi
Teckla
Huyu mama Abdul hawakuwahi kuigiza. ingawa pia nadhani baba Abdul alifariki last year.. mzee mmoja alikuwa akiongea kwa mapozi na busara nyingi sana
Hellow miss madeko,mwaka mpya ni shwari. Heri ya mwaka mpya pia.
Isidingo mambo magumu bado channel hazijarudishwa DSTV
Salama kabisa Numbisa.. Heei na wewe ya mwaka mpya,
Asante kwa kunijibu, kwelisasa hivi Isidingo ni kitendawili mimi nimebaki na Selina, Maza na Mwantum mcharuko ambaye ane aliaga dunia juzi ijumaa nasikia kazikwa leo
Dah RIP.
Namkumbuka kama Mama Badul kwenye maigizo ITV.
Realest actor.
Na ujinga wote wa Bongo Muvi nilivyomuona kwenye kasha la Kigodoro ikabidi niiangalie.
Alifanya vizuri sana akiwa kama mke wa Baharia.
Mie nimezama kwenye vikorea hizo mwantumu na nyinginezo zimenipitia mbali kabisa,kila nikijaribu kuzifatilia najikuta nasahau muda wake