Tanzia: Mungu ailaze mahali pema poponi roho yako Charles Bukeko (Papa Shirandula)

Tanzia: Mungu ailaze mahali pema poponi roho yako Charles Bukeko (Papa Shirandula)

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kila nafsi lazima itaonja mauti, hilo lipo na litakuwepo siku zote, ila kuna wengine wakiondoka tunaachwa na maswali mengi sana na kuomba bora wangevuta muda kidogo, hata hivyo hatulaumu ila kumshukuru Mungu maana ndiye mwenye uwezo wa kutoa na kutwaa, muigizaji na mcheshi bwana Charles Bukeko almaarufu kama Papa Shilandura katuondoka hivi hivi mazima mazima.

Mungu awape familia na marafiki wepesi kwenye hili lililowakuta.

1595074850274.jpeg


 
@mods Naomba mrekebishe neno 'poponi' kwenye kichwa cha huu uzi.
 
Poleni wakenya, Mungu awaepushe na Majanga tufurahie maisha pamoja.
 
Sisi wote ni ndugu tuhuzunike pamoja pindi tunapopitia nyakati ngumu na tufurahi pamoja pindi tunapitia jambo la kufurahisha.

Yanini kulumbana mpaka tutakiane mabaya!?, kwa faida ya nani hasa!? MUNGU AIBARIKI TZ, MUNGU IBARIKI KE, MUNGU IBARIKI EAST AFRICA NA DUNIA YOTE, Atuepushie mbali majanga.
 
papaa shirandula umemwacha bi nyagothie, na yule mapengo sijui ndo njoroge kweli

Haya we tangulia
 
Mbele ya Janga baya kama corona hakuna mshindi ila Kwa kumtumaini Mungu pamoja tunaweza kuishinda corona, tunahitaji maisha bora kwa jamii zetu kuliko tunavyohitaji kushindana nani bora kuliko mwenzie.
 
Kenya is quite open with it's covid 19 situation. Tanzania on the other hand is estimated to have millions of infected persons while hiding the facts. Infact GOT has even stopped doctors from recording pneumonia deaths as such. It is estimated that about 1200 people have died of covid 19 in hospitals with more at home but doctors are afraid to speak and journalists have been arrested for even mentioning covid 19 or pneumonia deaths. Doctors are now taking leave to avoid too much contact with patients in hospitals and the police are now used to stop people seeking medical help with respiratory problems from going to hospitals.

You can live in as much denial as you want but the world knows you are east africa's north korea who are also hiding their covid cases.

Tanzanian doctors sound alarm over hidden coronavirus cases
What's going on with coronavirus in Tanzania?
Tanzania accused by opposition of hiding true COVID-19 stats - Medical Brief
Some Tanzanians Resort to Bogus Steam Treatment for Coronavirus
Subscribe to read | Financial Times

Lucky for the world doctors in Tanzania are now keeping separate records on patients with respiratory problems , which they release to international media like bbc and other humanitarian organizations.
 
Siyo kweli kwamba kila roho lazima itaonja mauti.
 
Back
Top Bottom