Tanzia: Mwanafunzi coed-UDOM afariki dunia

Afyayaakili

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
924
Reaction score
1,263
Mwanafunzi wa mwaka wa tatu college of education afariki dunia akiwa anaogelea kwenye swimming pool ya hotel moja hapa mjini Dodoma. Alikuwa akisherekea sikukuu ya X-Mass na marafiki. R.I.P Brother.
 
Nakumbuka pia rafiki yangu alifariki kwa kisa kama hiki na ni huko huko dom.By the way apumzike salama
 
Jan 02, 2011 alikufa mwanafunzi mwingine wa cive - udom katika swimming pool ya Dodoma Hotel!

R.I.P Brother
 
Patakuwa panakitu ktk hilo pool sio bure,why kila xmass na.mwanzoni mwa mwaka wanakufaaaa????
 
Lete taarifa kamili ni nani jina lake? Anasoma degree program gan na kwao wapi? I have alot of friends hapo chuo.
 
Lete taarifa kamili ni nani jina lake? Anasoma degree program gan na kwao wapi? I have alot of friends hapo chuo.

sasa si uwaulize hao rafiki zako wakuambie :what::what::what:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…