Afyayaakili
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 924
- 1,263
Mwanafunzi wa mwaka wa tatu college of education afariki dunia akiwa anaogelea kwenye swimming pool ya hotel moja hapa mjini Dodoma. Alikuwa akisherekea sikukuu ya X-Mass na marafiki. R.I.P Brother.