simuhukumu marehemu... ila hakuna kifo rahisi kwenye maji kama ukioga huku ukiwa umelewa... hii hata ujue kuoga maji yanaweza kukushinda kwa 70%...(simaanishi kuoga bafuni)
KUHUSU HIYO HOTELI..INATAKIWA IWE NA MIFUMO MIZURI YA UANGALIZI NA UOKOZI as long as wameweka starehe hatarishi kama hiyo swimming pool.. tena usikute hata migfumo ya kuepuka na kupunguza madhara ya majanga ya moto ni tatizo..
REST IN PEACE MSOMI..GONE TOO SOON