Daah! Habari mbaya sana hii asee! Pole kwa wafiwa na wadau wa bongofleva kwa ujumla!
Nakumbuka baadhi ya nyimbo kama mtoto wa kiume na ile collabo ya wimbo wa 'mimi'
Jamaa alikuwa na kipaji na vocal kali sana! Sauti kali na kubwa kwa battle rhyms! Dah
Pole kwa clouds 'shem' wao wa zamani ndio katutoka!
R.I.P Geez Genious Mabovu!
Sent from my WhiteBerry using JamiiForums