Kuna mchizi Jana alisema geez alikua anapiga viroba bila kula hadi figo zikafeli
Oooh my god Geez Mabovu r.i.p dorrisaffu iringa
Yeah amekufa mamii...madawa yatawamaliza kaka zetu jamani...
Jamani nimeona kwa millard ayo rip mabovu kwani amekufa?
Nimeona mda si mrefu
mwenye uhakika atujuze maana jf ndo kila kitu!
Yeah amekufa mamii...madawa yatawamaliza kaka zetu jamani...
Yeah amekufa mamii...madawa yatawamaliza kaka zetu jamani...
Sema haki ya mungu?
Fetty huyu huyu
Kwani nin chanzoo:what: