Tanzia: Mwanamuziki Geez Mabovu aaga dunia

Dah Mungu amlaze mahala pema peponi huyu kamanda ametangulia sisi tutafuata.
 
Inabidi sasa tuwatafute wauzaji maana wao hawafi, wanakufa watumiaji tuuu
 

Nimeona wametaja na humu kuanzia 4:07 - 4:14
 
Last edited by a moderator:
kingoko ilikuwa maskani ya watoto wa mikocheni(regent) wakina langa, babuu etc ilikuwa click kubwa
kuhusu mambo ya ngada lazima baadhi yao walikuwa wanajifunza hadi kutumia kbisa

kingoo'oko bonge la chata enzi zile na tshert za king'oko
 
kingoo'oko bonge la chata enzi zile na tshert za king'oko

umeona eeh, me pia niliikubali sana brand ya 'king'oko'. lilikuwa ni bonge la logo, lile chata limekaa kiharakati haswaa. ivi tshirt zao bado zinapatikana kweli? nilizipenda sana, pamoja na lile chata la 'KIRAKA' la East Coast kwa chizi GK
 

Kila nikiskiliza hizi lines kutoka kwa Jay Moe na Langa hua sioni Mcee mwingine anayeweza kujibizana na mwenzie kwa ubunifu huo
 
Rest in peace Mabovu,lipo la kujifunza kupitia yeye....madawa ya kulevya yanapoteza vijana wetu.
 
Hapa ni Mlolo (Iringa) makaburini alipozikwa Geez jioni ya Leo 13/11/2014 R.I.P
 

Attachments

  • 1415889214333.jpg
    102.6 KB · Views: 363
tatizo la figo limemuondoa siyo ngada chief.....mimi sikubaliani kama alikuwa anatumia drugs,

Tatizo la figs limetokana na nini? Acha ubishi wa kijinga mteja wa unga anaonekana vizuri tu, viroba yule walaa, Arusha alipoamia tena akawa mshkaji na pusha wa Poda unategemea nini? Acha kubishabisha tu.
 
umeona eeh, me pia niliikubali sana brand ya 'king'oko'. lilikuwa ni bonge la logo, lile chata limekaa kiharakati haswaa. ivi tshirt zao bado zinapatikana kweli? nilizipenda sana, pamoja na lile chata la 'KIRAKA' la East Coast kwa chizi GK

idea ilikua ya mchizi wangu langa..siku moja tupo kwenye ki contena flani mtaa wa chato regent akaitoa hiyo idea..polisi wakavuruga kikao manake bangi zilivyokua zinawashwa hatari sana..siku nyingi baadae akanipigia simu anaongea kwa hasira mtoto wa raisi kachukua idea yangu ya king'oko halafu anaifanya yake pia hawamshirikishi..ila kwa spidi ile ya bangi waliyokua nayo langa na babuu wa kitaa, sembe wasingeikwepa..
 

mi nilikua najua walishirikiana kwenye kutafuta jina la king'oko na miiiiiirrrra....jay
 
sauti ya zege ktk hiphop kabaki male marxist wa tamaduni music

mkuu uyo dogo anaweza sana, sema tu media inambania. Malle wa MECKO SOUTH, ana sauti ya zege ya ki-hiphop. Kuna pini zake mbili ambazo huwa lazima nizisikilize getho kila usiku ninaporudi kutoka mishe: 'Kawaambie Madogo' (ft. Nash Mc), na ''Jina La Mwandishi - M.A.L.E'' (hasa ile remix yake). Ameshaandika kitabu kinaitwa ''Chuo Kikuu Cha HipHop'', dogo anajitahidi sana kuendeleza harakati za hip hop.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…