TANZIA: Mwanamuziki Michael Denis (John Walker) afariki dunia

Nimesoma kwenye chanzo flani cha habari kuwa John woka kafariki dunia,ni ajali au alikuwa anaumwa?,mwenye taarifa kamili atujuze,
 
R.I.P msanii Mungu awape moyo mkuu familia yake.
 
MUNGU ailaze roho ya marehemu mahala pema pepopo ...


#R.I.P
 
Unique MC..
Ana style ya pekeyake hakuna mwingne aiwezaye..
 
R.I.P. "JOHN WALKER" We have lost a talented artist!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…