Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,536
- 15,746
Mwenye majonzi hawezi wepo hapa,..
Btw. RIP.
Mkuu, kuna uhusiano gani baina ya ugonjwa wa kifua na wasanii, au kwa kuwa wanatumia pumzi nyingi wakati wa kuimba ?
Mara ya mwisho nilimuona Igo lounge Sinza, mwili ukiwa dhoofu na alikuwa mwenye hasira sana....sina shaka hata kidogo na hiyo "TB" :shocked:Taarifa zaidi alikuwa anasumbuliwa na homa ya mapafu:TB
RIP mzee wa east zoo