wakali wa chemba wanaisha nafkiri kabaki darkmaster
Very constructive words. Tatizo ni kuyakumbuka maneno hapa pale mmoja anapotangulia, inabidi tuyakumbuke nyakati zote ...za raha na za shida!This world is not our home, we are just passing through. R.i.p Mez B, we are on the way.
hakika nduguVery constructive words. Tatizo ni kuyakumbuka maneno hapa pale mmoja anapotangulia, inabidi tuyakumbuke nyakati zote ...za raha na za shida!
na noora wa lugha gongana
kweli alihojiwa akasema ana tatizo kwenye mfumo wa utumbo umejinyongorota
Kafariki lini? Alikuwa anaumwa?