Tanzia: Mwanamuziki Moses Bushagama (Mez B) afariki dunia

Tanzia: Mwanamuziki Moses Bushagama (Mez B) afariki dunia

King Kong III

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
56,205
Reaction score
79,515
Umofia kwenu wana JF,
attachment.php

Mwanamuziki Moses Bushangama maarufu kama Mez B amefariki dunia. Mez B alikuwa mmoja wa Wanamziki wanaounda kundi la Chamber squard, amefariki leo mjini Dodoma.

Habari hizi zimethibitishwa na mama yake mzazi.
 

Attachments

  • mez b.jpg
    mez b.jpg
    32.6 KB · Views: 17,878
"Kama vipi nataka Kwenda nawe au Kama vipi nenda kajiandae, basi Kama vipi twende wote honey twende tuka......". Apumzike kwa Amani Mez b
 
Taarifa kutoka Dodoma zinasema kuwa msanii wa bongo fleva Mez B amefariki dunia muda huu. Alikuwa anaumwa sana homa ya mapafu, mama yake mzazi amethibitisha habari hizi za msiba akiwa Dodoma
 
Mungu ampumzishe anapo stahili!
 

Attachments

  • 1424420013032.jpg
    1424420013032.jpg
    22.1 KB · Views: 3,502
Duuuuh .....watu wanaondoka mapema siku izi!!!! Uuuuwiiiii ...ki kuku ...ule wimbo wake maskini!!!!

Rest in peace kaka.
 
daah, mwingine tena! RIP mwanachemba
 
Back
Top Bottom