Tanzia: Mwanamuziki Moses Bushagama (Mez B) afariki dunia

Tanzia: Mwanamuziki Moses Bushagama (Mez B) afariki dunia

Msanii Moses Bushagama aka Mez B aliyewahi kung'ara na ngoma ya‪#‎KamaVipi‬ aliyompa collabo Rayc1982 - amefariki dunia muda mfupi uliopita huko mjini Dodoma - Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi! - Taarifa zaidi zitakujia kadri tutakavyozipokea!

<span style="color: rgb(20, 24, 35); font-family: Helvetica, Arial, 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 14px; line-height: 19.3199996948242px;">


 
Last edited by a moderator:
"Kama vipi nataka Kwenda nawe au Kama vipi nenda kajiandae, basi Kama vipi twende wote honey twende tuka......". Apumzike kwa Amani Mez b

"Kama vipi vipi nataka kwenda nawe, au kama vipi nenda kajiandae, basi kama vipi twende wote tamashani, honey twende tukaplay....."...
Dah!
 
Back
Top Bottom