TANZIA: Mwanamuziki nguli wa miondoko ya Country, Don Williams afariki dunia

Nnachojiuliza mbona hawa jamaa hawa train vijana waje kurithi mikoba yao manake ntimbo zao tam sana
 
RIP
 
Nnachojiuliza mbona hawa jamaa hawa train vijana waje kurithi mikoba yao manake ntimbo zao tam sana
Wapo wengi sana. Kuna mizizi imara kabisa katika kizazi cha Country music. Nenda kamtafute Tim Mcgraw, Brad Paisley huko utawKuta na wengine wengi sana
 
Wapo wengi sana. Kuna mizizi imara kabisa katika kizazi cha Country music. Nenda kamtafute Tim Mcgraw, Brad Paisley huko utawKuta na wengine wengi sana
Thanks mkuu brad paisley huyu yuko poa sana ana kitu kinaitwa she is everything so nice
 

dah unanikumbusha mbali sana mkuu ninazo zote kwenye cm!! R I P #Don#
 
Nnachojiuliza mbona hawa jamaa hawa train vijana waje kurithi mikoba yao manake ntimbo zao tam sana
naona huu music unaongozwa na busara sana!!! akili nyingi na ufundi ndo maana waliouweza ni wachache!! kama nyimbo ya I belive in You au 'sinorita' utaelewa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…