KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Mama Thabita Siwale, mwanasiasa mkongwe ameifariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Ocean Road alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akipatiwa matibabu.
Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.
Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.
Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.
Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.