TANZIA:- Mwanasiasa mkongwe Mama Thabita Siwale ameifarik dunia.

TANZIA:- Mwanasiasa mkongwe Mama Thabita Siwale ameifarik dunia.

KING MIDAS

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2010
Posts
8,589
Reaction score
16,936
Mama Thabita Siwale, mwanasiasa mkongwe ameifariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Ocean Road alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akipatiwa matibabu.

Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.

Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.
 
Mama Thabita Siwale, mwanasiasa mkongwe ameifariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Ocean Road alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akipatiwa matibabu.

Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.

Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.

KWA NINI UNALETA TAARIFA ISIYORASMI?
 
Mama Thabita Siwale, mwanasiasa mkongwe ameifariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Ocean Road alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akipatiwa matibabu.

Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.

Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.
Ndio nani huyo? Significance yake ni ipi kwenye ukongwe wa siasa zake?
 
Ndio nani huyo? Significance yake ni ipi kwenye ukong

 
 
Bora hata lucas mwamshamba tuna mjua kwa ushamba wake alivyojipatia umaarufu
 
Mama Thabita Siwale, mwanasiasa mkongwe ameifariki dunia usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Ocean Road alipokuwa amelazwa kwa wiki mbili akipatiwa matibabu.

Msiba uko nyumbani kwake Mikocheni Dar es Salaam.

Taarifa rasmi itafuata mara tu baada ya kikao cha wanafamilia.
Mbona kwenye heading neno 'TANZIA' halijapakwa rangi kama ilivyo kawaida au marehemu alikuwa na ugomvi na mamodi wa humu.

R.I.P mama.
 
Back
Top Bottom